Bahati, Bruce Melodie - DIANA lyrics

[Bahati, Bruce Melodie - DIANA lyrics]

Niko vitani na moyo baby
Zaidi ya yote kumbuka jana
Unasonga, mi nasonga
Moyo unakataa
Ah!
Kinachonitia wasi wasi
Ni cha kuwaambia kanisani
Na sijafeli
Nina imani moyoni

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady

Diana (Diana)
Diana (Diana, Diana)
Wangu Diana (Diana, Diana)
Nisikize Diana (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa
Naikimbia shida nilikotoka unajuaa
Naogopa, naogopa
Hunnie naogopa
Ninavyo umia bidii kwa kazi
Mbona unaondoka
Nakupenda sana
Nishawaambia mashabiki na baba
Akulinde sana
Baado nakusubire

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady
Diana (Diana)
Diana (Diana)
Wangu Diana (Diana)
Nisikize Diana (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa
Naikimbia shida nilikotoka unajuaa

Diana (Diana)
Diana (Diana)
Diana, Diana
Diana, Diana
Shallzbaro
Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Naukambeba mwanangu
Amwite nani dady

Interpretation for


Add Interpretation

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Interpret