Johnny Vigeti, Ken Ring - Johnny Vigeti Is Back lyrics

[Johnny Vigeti, Ken Ring - Johnny Vigeti Is Back lyrics]

And I'm tired of this

Ken Ring johnny Vigeti Is Back!

Walisema eti Jonny amekwisha
Stori zinatatanisha mpaka hommie sipati picha
Wanaojifanya mabeshte wana grudge
Wasenge wako quick kunitupia
Sentence kama judge
Eti Johnny hii, Johnny ile
Wana-dwell kuhusu story hii hawaoni ile
Wana-criticise vako
Kwa hiyo negativity ndio mi na-rise up
Na sitaki peace, sitaki toto mi ni baba
Yap, started from the bottom tuko hapa
Ukifanya mistake kurudi kwa msoto jo ni fasta
Halafu kivipi utalisha watoto? Jo
Ni blunder!
Five plus ma-junior lazima tu washibe Monday
Ikibidi tu nibonge ya stick up we unipe zangu
Mchizi niko kwenye grind
Kamilisha mission tangu
'94 machozi damu kisha kumwagike damu

Johnny Vigeti is back!
Hii ni real ghetto shit si mataniii!
Johnny Vigeti is back!
Watoto wadogo wanaleta mchezo kwenye fani
Johnny Vigeti is back!
Sikuwa nimeenda nilikuwa hapa hapa
Johnny Vigeti is back!
Na mission yangu ni kuwatafuna kama supper

Tunaifanya vile tunafeel, si turidhishe watu
Mpaka nimeachana na heroin niwakilishe 1-2
Tumetoka mbali
Fiti crew ni machizi Dandora wakifoka mtaani
Mpaka F2 jam session, 'kileta torture flani
Big up kwa machizi wangu wanasota ndani
Keep your head up tu hivyo ni siku moja man
Don't to drugs! Mambo ya pony masufuri
Hakuna faida jo huchori man, hukuli
Utajukuta kwa shida, ni ngori man mhuni
Natafuta juu ya kina-shawty tu mi huwa situli
Take notes wanaojifanya wasomi waende skuli
Wakilisha 100 mpaka niende kaburi
Kutoka tu before, zile mi nachora tu ni raw
Kama kawa wakilisha Dandora to the core
Tusha-wisen up mambo tunachora tu ki-pro
Tunasonga tukigrow

Johnny Vigeti is back!
Hii ni real ghetto shit si mataniii!
Johnny Vigeti is back!
Watoto wadogo wanaleta mchezo kwenye fani
Johnny Vigeti is back!
Sikuwa nimeenda nilikuwa hapa hapa
Johnny Vigeti is back!
Na mission yangu ni kuwatafuna kama supper

(Gunshot)

Fuck you, your friends and your stupid career
But still I'm waiting in bed for you
Coz you are my only legend
And I'm gonna show you things you've
Never did to me before
Even if I know you fuck
All these other ladies
At least give me one hour
But fuck you for WHAT YOU DID
Because my pussy has got diamonds

Johnny Vigeti is back! (Gunshot)

Interpretation for


Add Interpretation

Add extended interpretation

If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!

Latest added interpretations to lyrics

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Interpret