Israel Mbonyi - Malengo (Ya Mungu) lyrics

[Israel Mbonyi - Malengo Ya Mungu lyrics]

Atakaye kuwa na wema
Ahitajie kuheshimiwa
Basi aende ayatafute kwa
Kutenda mema bila kusita
Asiyajali macho ya watu
Maana yao sio muhimu
Bali ajali jina nimuitalo
Kwani mi ni Mungu aliyemuumba

Atakaye kuwa na wema
Ahitajie kuheshimiwa
Basi aende ayatafute kwa
Kutenda mema bila kusita
Asiyajali macho ya watu
Maana yao sio muhimu
Bali ajali jina nimuitalo
Kwani mi ni Mungu aliyemuumba

Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Alitukuta tukigagaa
Dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele

Simameni kwenye mnara,
Usubiri ntakacho kisema
Zizuieni sauti za muovu
Na upende kuwa mwenye haki

Nenda omba tena uombe
Tofautisha kuomba kwako
Maana hapo nitakuokoa
Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako
Nenda omba tena uombe
Tofautisha kuomba kwako
Maana hapo nitakuokoa
Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako

Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Alitukuta tukigagaa
Dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele

Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Alitukuta tukigagaa
Dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele

Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Alitukuta tukigagaa
Dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Interpretation for


Add Interpretation

Add extended interpretation

If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!

Latest added interpretations to lyrics

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Interpret