Harmonize - Mtaje lyrics

[Harmonize - Mtaje lyrics]

Ana kasura ka upole
Miaka nenda rudi hazeeki
Tena ni mtu wa gym gym
Shepu ndo linanipa wazim zim

Na cartoon mchore
Ila ndo hilo tena hapendeki
Ama kweli mapenzi hayana mwalimu
Wengine hata kuniona ni adimu

Hivi tuseme ana ngekewa
Ama nyota yake kali ananizidi
Ama mjini nimechelewa
Ona wengine wanamponda wanamuita bibi

Nilianza kumuona mapema
Enzi za mabanda ya sinema
Alikuwaga ni rafiki na Wema
She is so cute

Acha wanione mshamba tu
Mtuta hawezi kunipigia honi
Umri nao ni namba two
Kinachoniuma anajifanya haoni

Kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Basi kama unamjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Anayelenga kwa rula siku zote ndo apatae
Mwambieni mwanangu Paula mi nampenda mamaye
Tena ni fundi wa kuchanua ah
Utasema samaki ng'onda
Hapo ndo nikagundua ah
Hii ni kiriwani za Makonda

Kwa daladala, ninashindwa kulala lala lala
Anambadalda dala dala, anaitoka ka

Hakika ye ndo kiboko yangu
Jua likiwaka ikinyesha
Utembo na ujeshi wangu
Geti ni kwake nilikesha

Mtihani wa mapenza hakuna aliyefuzu
Sawa unywe pombe na useme nguzu
Na mtu kisha penda unakuwa zuzu
Ati nawazaje kuwa mama zuzu

Kama unamjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Interpretation for


Add Interpretation

Add extended interpretation

If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!

Latest added interpretations to lyrics

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Interpret