Harmonize - Teacher lyrics
[Harmonize - Teacher lyrics]
Ah ha ha ha ha, Jeshi
(Imma in the beat)
Wakati wanahanya kugombea kiti
Wanadanganyana na viewers wa ku-cheat
Mie jicho lipo nyanya nilishakula kijiti
Na magoma yakipigwa huko club mtiti
Ninachojua masela huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana sitingishi hela, wala ninavyovimiliki
Mafumbo andika kwa dela, watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa sindelela, yeye hapendagi makiki oh na, na-na
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza (uhg)
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
I'm your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
I'm your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza (uhg)
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
Ninachojua masela huko mtaani kuna dhiki
Ndo maana sitingishi hela wala ninavyovimiliki
Mafumbo andika kwa dela watu wanataka muziki
Mara kumi mwanangu wa sindelela yeye hapendagi makiki oh na, na-na
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza (uhg)
Huu muziki nauweza
Nauweza kuuimba na kucheza
Ona unavyonipendeza
Hadi majirani wameanza kunigeza
I'm your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
I'm your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
Naika kupoteka, karipambilile, eh
Mwaka nakutayonja, nakutayonji
Navanta na mwi makonde
Vanemba, Newala
Hadi ku-Tandahimba
Naika kupoteka, karipambilile
Teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
I'm your teacher, teacher Konde
Teacher, teacher Konde
Safi, safi sana
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics