Diamond Platnumz - I Miss You lyrics

[Diamond Platnumz - I Miss You lyrics]

Hello, hapo vipi sijui unanisikia?
Hello, na maneno natamani kukwambia
Hello, tafadhali usije nikatia
Hello ooh, ona mpaka nasahau kusalimia
Habari gani? Leo nimekukumbuka sana
Na mama yaani, twakuwazaga
Vipi nyumbani, hali ya mumeo na wana?
Na aunty Shani, wa Chimwaga?
Ah ah, kile kidonda changu cha roho
Bado kinanitia tabu najitahidi kukaza roho
Ila nazidisha adhabu tena silali oh
Nasubiri maajabu
Maumivu yangu hayajapata dawa

Maana I miss you
(nakukumbuka iye iye) nakukumbuka baby
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I do miss you
(nakukumbuka iye iye) nakukumbuka mama
I miss you (nakukumbuka iye iye)

Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (Bigili bigili bayoyo)
Oh nikilala (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Nami sina raha (Bigili bigili bayoyo)

Tatizo hata sijui nini kosa langu
Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga
Nawaza ila siambui ama shida zangu uuu
Simba nikawa chui mi roho inaniumaga
Yawezekana ahadi zangu zisizotimia
Ndio maana haukutaka kusubiria
Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana usiku dona kurumaghia
Nilitamani sana ila nguvu yangu pale iliishia
Ningalikua na uwezo ningekutimizia
Ningali unafuraha haya maumivu ntayavumilia
Ila japo nambie ivi unanifikiria maana eh eeh

Nakumkumbuka iyeh iyeh
(nakumkumbuka sana ooh)
I miss you (nakukumbuka iye iye)
Nakumkumbuka sana ooh
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I miss you (nakukumbuka iye iye)

Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (Bigili bigili bayoyo)
Oh nikilala (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Nami sina raha (Bigili bigili bayoyo)
Hata nikila (bigili bigili)
Nikikuwaza (bigili bigili) nikiiii nana
(Bigili bigili bayoyo)
Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (Bigili bigili bayoyo)

Tudd Thomas

Eeeeeh eeh roho yangu mama (Bigili bigili)
Eeeeh hee hee (Bigili bigili)
Eeeeh hee hee (Bigili bigili bayoyo)
Oooh roho yangu mama (Bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Na Chibu sina raha (Bigili bigili bayoyo) oh
Hata Nikila

Interpretation for


Add Interpretation

Add extended interpretation

If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!

Latest added interpretations to lyrics

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Interpret