Diamond Platnumz - Kwanini? lyrics
[Diamond Platnumz - Kwanini? lyrics]
Kila siku maugomvi, unanukia mabia
Ina maana unataka usema
Huu moyo wangu hatambui thamani ya mapenzi
Ndo imegeuka kuwa uadui
Nikakuimbia nyimbo bado nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love ila baby bado
Nikakuimbia nyimbo bado nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love ila baby bado
Ukose raha kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? Kisa, kupendwa nawe
Nishachoshwa na haya mapenzi
Visa mara mia kwa mwezi
Mara leo limekwisha hili
Kesho kutwa tena ghafla limezuka tena jingine
Choshwa na haya mapenzi
Visa mara mia kwa mwezi
Leo limekwisha hili, kesho lingine eh!
You just don't know
Naumia umia umia umia umia eeeh ah!
You don't know naumia umia umia umia umia
Hiiiii
Ukose raha kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? Kisa, kupendwa nawe
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics