Diamond Platnumz - Mapenzi Basi lyrics
[Diamond Platnumz - Mapenzi Basi lyrics]
But, I just wanna tell you
How badly my heart is breaking
This is absolutely painful for me to say
'Damn’
Mi mwenzenu tena basi oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi basi
Sitaki mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki oh, mwenzenu tena basi
Basi sitaki
Yalinifanya nikaugua mara napanga napangua
Mwili ukakonda nikapungua
Ah, sikulala (sikulala)
Oh, maradhi nikaugua, oh oh
Yakanichoma na kuungua roho
Kutwa nawaza na kuwazua sikulala
Eh haya mapenzi bwana
Hayana maana yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana nikatukanwa
Lakini akanipiga teke aiih
Haya mapenzi bwana hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana nikatukanwa
Iye
Mi mwenzenu tena basi oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi basi
Sitaki mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki oh, mwenzenu tena basi
Basi sitaki
Oh, nilishagombana na mama mzazi
Akataka nimwagia radhi sababu yule fulani
Yule wa moyo wangu yakaleta zengwe kwa kazi
Ugomvi wa Simba na panzi vurugu kwa majirani
Ah, e Mola yangu
Eh haya mapenzi bwana
Hayana maana yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana nikatukanwa
Lakini akanipiga teke aiih
Haya mapenzi bwana hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana nikatukanwa
Iye
Mi mwenzenu tena basi oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi basi
Sitaki mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki oh, mwenzenu tena basi
Basi sitaki
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics