Diamond Platnumz - Nawaza lyrics

[Diamond Platnumz - Nawaza lyrics]

Nawa nawa
Nawa nawaza tu
Nawa nawa
Nawa nawaza tu

Nawaza pru mpaka maka Ruge amerudi tena
Je kwa huu mziki wa
Sasa sijui nini angesema!?
Na nimejifunza binadamu kweli hawana jema
Yani mtoto unaemtunza ndo anakuombea ukilema
Nashangaa

Nawaza Vanny na Elizabeth, clip zao zikivuja
Ndoa itaimarika eti, au ndo ataifoja?!
Nawaza muchana, usiku jibu halifiki
Wanaonitukana, tuna bifu au ilimradi kiki?!
Nawaza kina Kimambi bwana
Wangekua wagawa ridhiki
Hivi kweli ningejulikana si
Wangenizima nsisike
Nlowaza leo nshawaza sana kina
Kiba ugomvi kipi?!
Nikagundua ni ushamba na ujana
Wa kugombania mashabiki

Nawa nawa
Nawa nawaza tu
Nawa nawa
Nawa nawaza tu
Oh nawaza

Huenda Steven Kanumba angelikuwepo hai
Nawaza movie zetu pia tungejidai
Nawaazaa hivi kombe la dunia hatufikagi why?!
Nawaza, tatizo ni team au uongozi haufai
Mawazo mengine mtanange bora
Tuache yataleta ukakasi
Je angekuepo Muzee Nyange
Uncle Shamte angepata nafasi?!
Nawaza ka ngеkua na Wema Sepetu hadi lеo
Sijui ngekua nshafulia au zaidi maendeleo
Oh nawaza siku nikifa sijui wasafi itakufa
Nawaza sijui maradhi ama ajali itanikuta
Nawaza oh Mama Dangote nani chozi atamfuta
Nawaza sijui nyimbo zangu watazikumbuka, eeh
Nlowaza leo nshawaza sana
Nnachoshindwa kuwa kipi
Nikagundua naepusha lawama maana
Najijua kwa kucheat

Nawa nawa
Nawa nawaza tu
Nawa nawa
Nawa nawaza tu

Interpretation for


Add Interpretation

Add extended interpretation

If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!

Latest added interpretations to lyrics

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Interpret