Diamond Platnumz - Unachezaje lyrics
[Diamond Platnumz - Unachezaje lyrics]
Now the moment you've all been waiting for
The world famous eh eh
Zombe, oh s2Kizzy, baby
Aga mfukoni nina kiti (mati)
Mkononi kai (mati) nasikia kuna kiki (wapi?)
Nije kujimwaga (kati) oh, haitoshi
Kalitaka Simba la baba kaletewa oh my gosh
Sasa kazima anataka kubebewa oh, haitoshi
Kalitaka Simba la baba kaletewa oh my gosh
Sasa kazima anataka kubebewa
Nionyeshe unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachezaje)
Kwani unachezaje (unachezaje) unachezaje
Asa nionyeshe unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachеzaje)
Kwani unachezaje (unachеzaje)
Unachezaje (unachezaje)
Ilikwa mbili 4, 4 pale pale (pale pale)
Dawa ya show, show, show
Nahisi ndale (nahisi ndale) peleka
Vuta taratibu songa pupa
Dereva shusha
Hapo mbele kwenye kuta
Ehhuu ni mti gani (wa Mchongaoma)
Ukiukata (haukatiki)
Sisi ni mti gani (wa Mchongaoma)
Wakitukata (hatukatiki)
Nionyeshe unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachezaje)
Kwani unachezaje (unachezaje) unachezaje
Asa nionyeshe unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachezaje)
Kwani unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachezaje)
Asa po po li po li po po po
Po po li po li po la
(Po po li po li po po po
Po po li po li po la)
Po po li po li po po po po po li po li po la
(Po po li po li po po po
Po po li po li po la)
Waambie chombo (kinapepea)
Eh, chombo (kinapepea)
Huwaga chombo (kinapepea)
KIle chombo (kinapepea)
Aweh acha
Aweh ah
Huo mnazi (unakatika) mnazi (unakatika)
Mama mnazi (unakatika) ona mnazi (unakatika)
Ukitaka kukatika hukatika kati kati katika
Huo mjumba (unabomoka) mjumba (unabomoka)
Mama mjumba (unabomoka)
Ona mjumba (unabomoka)
Ukitaka kubomoka hubomoka bo bo bo
Bo bo bo bo
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics