Khadja Nin - Sina mali, sina deni (Free) lyrics
[Khadja Nin - Sina mali, sina deni Free lyrics]
Kabisa, ni hajabu sina mwili tena
Niko sawa upepo
Mimi masikini, sina mali mali, sina deni
Mali yangu baba ina nyesha kama mvua
Ina ruka kama ndege ina cheka kama mtoto
Ahiya, mam'ahiya (O-o-o oh)
Sina haja, ya kitu mimi napona
I'm free, kama maji (A-a-a-h)
Anatembeya mpaka katika pori
Mimi, mi masikini (O-o-o oh)
Sina mali mali, sina deni (A-a-a-h)
Mali yangu baba ina ota kama maua
Ina pita kama nyota waka kama jua (Jua)
Pole, pole mama
Wakati wangu umefika, mimi napona
I'm free (O-o-o oh) kama hewa (O-o-o oh)
Ina ingiya mpaka fasi inapenda (A-a-a-h)
Mimi, ni masikini, sina mali mali, sina deni
Mali yangu baba (O-o-o oh)
Ina ona kama macho (O-o-o oh)
Waka kama moto (O-o-o oh) ina lia kama ngoma
I'm free (O-o-o oh) Kama maji (O-o-o oh)
Ana tempaka mpaka kati ya pori
Kama hewa, kama macho (O-o-o oh)
Kama nyota, kama maji (O-o-o oh)
Kama mimi leo, mimi napona (A-a-a-h)
Kama hewa, kama macho (I'm free)
Kama nyota, kama maji (Ay, I'm free)
Kama mimi leo, mimi napona (O-o-o oh)
Ahiya, mam'ahiya (A-a-a-h)
Sina mali, Mungu, sina deni
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics