Octopizzo - Sijawai lyrics
[Octopizzo - Sijawai lyrics]
Na sijawai na sijawai (na sijawai)
Na sitawai na sitawai (na sitawai)
Hatujawai hatujawai, tambua mambleina
Na sijawai tambua mambleina, ayy
Hatujawai tambua mambleina, heh
Na sijawai tambua mambleina, heh
Na sijawai na sitawai na sitawai na sitawai
I think I'm Big Meech, Larry Hoover
Namba nane baby niko all over
Pale kwa dance floor ambia msupa "Bend over"
8 ball iko ndani, game over
GK serikali, mi gova
Chocha chocha chocha, ati ma-Range Rover
"Ati Biwott!, " mi ni Tom Mboya
Rusinga island, hamuezi tutoboa
1990 boy wa Rusinga
Alikuwanga foreign minister at age 19
Mtaani Octopizzo walikuwa washajua mi ni star
Madem kunifuata na ma mini skirt
Ki-Sir Godi najiamini
Self-employed, najiajiri
Na sijawai tambua ngoma za Naija mi
Na sijawai na sijawai (na sijawai)
Hatujawai hatujawai (hatujawai)
Na sitawai, tambua mambleina
Na sijawai tambua mambleina, heh
Hatujawai tambua mambleina, heh
Na sijawai tambua mambleina, heh
Na sitawai na sijawai na sijawai wai wai
8town
Ayy, cheza chini ju ikikuja ni competition
Octopizzo ako winning pweza mimi
Ukinitarget itabidi umetravel coasto
Hadi Malindi mikadili, kule Likoni
Uteremke Nyali kisha Mikindani
Yaani ikikuja ni coasto mzima
Utapata P-I niko ndani
Wapi sembe bana? (mahindi)
Una pembe sana (waindi)
Nikutoe rangi (ya nini?)
We ni ndume bana (Jiamini)
Mziki ni job mziki ni doh
Mziki ni smoke niko mandom
Niamini bro nikikushow hizo hype hawana doh
Utanishow nini bana?
Na mtaani bado najiamini sana
Na sijawai na sijawai (na sijawai)
Hatujawai hatujawai (hatujawai)
Na sitawai, tambua mambleina
Na sijawai tambua mambleina, heh
Hatujawai tambua mambleina, heh
Na sijawai tambua mambleina, heh
Na sitawai na sijawai na sijawai wai wai
Nikimaliza, siko kwa giza
Kaa ni maganji, nimeingiza
Wale mambleina, nawakimbiza
Hepa, hepa, hepa, hepa, hepa
Octopizzo wapi? Ngepa ngepa ngepa
Shamba zangu wapi? Tepa tepa tepa
Taxin tema? Tema tema tema
Na bila Diamond nime-go platinum
So unaeza uliza, Wema Wema Wema
Na sijawai na sijawai (na sijawai)
Hatujawai hatujawai (hatujawai)
Na sitawai, tambua mambleina
Na sijawai tambua mambleina, heh
Hatujawai tambua mambleina, heh
Na sijawai tambua mambleina, heh
Na sitawai na sijawai na sijawai wai wai
Why lie won't you rewind it
Na sijawai na sijawai
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics