Rayvanny, Jack Bin - Naogopa lyrics
[Rayvanny, Jack Bin - Naogopa lyrics]
Na wengi wakipendwa wanasahau kuna kutendwa
Mapenzi chenga yakikupiga unasurrender
Na wengi wakipendwa wanasahau kuna kutendwa
Wapi mkandarasi wa moyo
Wa ukuta wa mapenzi unadondoka
Kinacho ponza wengi ni moyo
Wakikalia kuti kavu wanadondok
Wapi mkandarasi wa moyo
Wa ukuta wa mapenzi unadondoka
Kinacho ponza wengi ni moyo
Wakikalia kuti kavu wanadondoka
Unajisifu umempata kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Unajisifu umempata kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Naogopa (naogopa) naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikee
Naogopa (naogopa) naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Tena tochi ya mapenzi isinimulike
Nimeyaona bayana
Ndo maana sitaki kukumbuka ya jana
Alivyonidanganya moyo wangu ukapiga danadana
Nimeyaona bayana
Ndo maana sitaki kukumbuka ya jana
Alivyonidanganya moyo wangu ukapiga danadana
Kwani nini za mapendo ila yakaniteka mapenzi
Tena nilimweka moyoni ila akaniona mshenzi
Unaweza sema pesa ndiyo breki
Ila mapenzi hayasomeki
Umemteka kwa mali na cheki
Kumbe vyombo anakula muuza magazeti
Unayemwita bebi anaweza bebwa kama begi
Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji
Unayemwita bebi anaweza akabebwa kama begi
Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji
Unajisifu umempata kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Unajisifu umempata kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Naogopa (naogopa) naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikee
(naogopa) naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Tena tochi ya mapenzi isinimulike
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics