Rayvanny - Unaibiwa lyrics
[Rayvanny - Unaibiwa lyrics]
Vicheko bandia usoni kudeka kumbe ana pretend
Maufundi toka tanga na zenji
Vionjo mitego unase ashike pochi umwage chenji
Anakuchanganya kiunoni shanga
Marashi kama uko peponi
Mtoto sauti kinanda
Ya kumtoa chatu pangoni
Ukishatafuna karanga
Hutaki hata aende sokoni
Anakuchuna mafaranga unabaki na vumbi mfukoni
Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu video snapchat
Kumbe hana maana hadi mangi
Anamwita sweetheart
Kisa anakesha gym kutafuta six packs
Unaibiwa! unaibiwa!
Unaibiwa! unaibiwa!
Kuna kina rose visosa
Wale wapenda verossa
Ukipita na shati na moka
Lazima watashoboka
Wakiomba lift ogopa
Miguu dashboard vishoka
Mchunguze cheni goroka
Nywele na pochi kakopa
Eh
Usije kuyavamia yasije yakakutesa hawachelewagi kukimbia
Kuna wenzako wanalia walizani mapenzi pesa kwenye suruali vibamia
Hata ukimuonga ferrari hatokuona rijali
Wakati chumbani we beki ukifunga moja tu chali
Atakamatwa na mangangali
Vijana machachali
Hawachagui sehemu ya vita uvunguni na juu ya dali
Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu video snapchat
Kumbe hana maana hadi mangi
Anamwita sweartheart
Kisa anakesha gym kutafuta six packs
Unaibiwa! unaibiwa!
Unaibiwa! unaibiwa!
Unadhani niwapekeako
Kumbe wengine wameshaweka kambi
Kakupendea macho
Wapo wengine kawapendea rangi
Ye ni gari la dampo
Hachagui taka dereva mpe ganji
Wakubadili sample
Akila mihogo karoti hazipandi
Unaibiwa unaibiwa
Unaibiwa unaibiwa
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics