Rayvanny - Wasi Wasi lyrics

[Rayvanny - Wasi Wasi lyrics]

Heyy
Hmm heyy heyy
Mmhmhmmm

Upepo mwanana
Nawe upo kifuani mwangu
Jua likizama
Mikono salama
Karibu kwenye moyo wangu
Mi baba uwe mama
Aah
Zima taa washa mishumaa
Nilishe kama na njaaaa
Aah
Kila dakika kila masaa
Palilia penzi litasinya
Aah

Sura yako macho yako
Upole wa mama yako
We chaguo langu
Mama aah
Taswira yangu picha yako
Moyo wangu mali yako
We chaguo langu
Mama aah

Wasiwasi
Mwenzako sina
Maana niko na wewe
Wasiwasi
Tunza heshima
Niwe na ww milele
Wasiwasi
Uko na mm usiwe na
Wasiwasi
Uniaminiii
Usiwe na wasiwasi

Ntakuganda ruba
Pua na leso tufatane
Mahabuba
Tuwe mapacha tufanane
Wenye husuda wakiroga tutengane
Ongeza rutuba
Nije na pete tuoane

Supu chukuchuku
Miguu ya vikuku
Ayy
Utaua ehh
Utaua ehh
Na haya manusunusu
Ukinibusubusu
Ayy
Maua ehh
Maua ehh

Sura yako macho yako
Upole wa mama yako
We chaguo langu
Mama aah
Taswira yangu picha yako
Moyo wangu mali yako
We chaguo langu
Mama aah

Wasiwasi
Mwenzako sina
Maana niko na wewe
Wasiwasi
Tunza heshima
Niwe na ww milele
Wasiwasi
Ehhhh
Uko na mm usiwe na
Wasiwasi
Uniaminiii
Usiwe na wasiwasi

Interpretation for


Add Interpretation

Add extended interpretation

If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!

Latest added interpretations to lyrics

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Interpret