Zuchu - Naringa lyrics
[Zuchu - Naringa lyrics]
Let sing, comeon eeh
Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali ana ulinzi mkali
Na ndio mana naringa
Naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba
Navimba navimba nalindwa na mungu
Raise your glass
Cheers to the Lord
Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He!
Na sianguuuki mimi nimechaguliwa
Aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali ana ulinzi mkali
Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu
Add extended interpretation
If you know what the artist is talking about, can read between the lines, and know the history of the song, you can add interpretation to the lyrics. After checking by our editors, we will add it as the official interpretation of the song!
Latest added interpretations to lyrics